Category: Gossip
-
Azimio! Msanii Aliyebobea Isaka Makaya Azindua Wimbo Wake Mpya Akimsifia Raila.

Mwimbaji marufu Isaka Makaya ameuwachilia mzuka wake mpya unaoitwa Azimio ambao unampigia Kiongozi wa upinzani raila odinga ambaye anawania kiti cha raisi kwenye uchaguzi mkuu utakao fanyika mwezi ujao tarehe tisa Agosti. Isaka Makaya alizaliwa mwaka wa 1976 katika jimbo la migori na eneo alikozaliwa kulikuwa na wasanii mashuhuri kama Collela Mazee, prince jully na…
-
Lover ! Love Smitten Singer Womi Pours His Feels Towards Lady Love.

Kenyan chanter Womi who is managed by Silver Management comes hot with his fresh and banging album dubbed Lover , which is also the title his lead single ‘Lover ‘ a catchy afrobeat/swing themed song where he opens up on his never ending obsession with a girl he came across and how the feelings have…
-
“WACHANENI NA SIZE 8 HAKUNA ASIYEKOSA HISTORIA” MSANII WA INJILI SHARIFF J ASEMA.

Msanii wa nyimbo za injilii Shariff J anayebobea na wimbo wake mpya unaojulikana kama msaada wa jesu ambao ukitasfiriwa kutoka lugha ya kigiriama wamaanisha msaada wa yesu amewakosoa watu ambao wanaomrushia size 8 cheche za matusi baada yake kuonekana juzi akimwombea mshirika wa kanisa lake. Chanzo cha matusi haya kimetokana na kuwa picha za size…
-
Gidi Kocha To Take The Stage At The E360 Awards .

Award nominated artist Gidi Kocha will take stage at the E360 awards ceremony which is scheduled to take place this coming Sunday 3rd April at the Kenyan Cinema Complex. Gidi Kocha and is his entourage will hold down an electric show where he will perform hits off his new album and his up and coming…
-
‘Jiggy Bam’ Kenyan Artist QRias Releases His Long Awaited Party Anthem.

After originally teasing his fans with audio to the party banger Jiggy Bam over two years ago , veteran singer and recording artist Q Rias has finally kept his promise and dropped the visuals to the sensual song. QRias has enjoyed a long Musical reign inthe Kenyan music industry which covers over ten years ever…
