Category: politics
-
Azimio! Msanii Aliyebobea Isaka Makaya Azindua Wimbo Wake Mpya Akimsifia Raila.
Mwimbaji marufu Isaka Makaya ameuwachilia mzuka wake mpya unaoitwa Azimio ambao unampigia Kiongozi wa upinzani raila odinga ambaye anawania kiti cha raisi kwenye uchaguzi mkuu utakao fanyika mwezi ujao tarehe tisa Agosti. Isaka Makaya alizaliwa mwaka wa 1976 katika jimbo la migori na eneo alikozaliwa kulikuwa na wasanii mashuhuri kama Collela Mazee, prince jully na…